FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

Chama ni mbaya!

Mpaka Young Killer the Sun A.K.A Msodoki anamsifia.βœŠπŸ˜ƒ

Leo
Mbwa acha niwavushe mipaka,
Na hizo pumba sahani moja lazima tule huu mwaka,
Naruka tikitaka,
Kipa huwezi nyaka labda u- join tu uwe CHAMA kama Mwamba wa Lusaka!

yaani ubora wako uunganishe uwe ufikie kiwanga kama Chama! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahaha
 
Chama ni mtu mmbaddd....
Wamempa maua yake kina Mbwaduke...
 
Mpira mzuri kasi nguvu akili so hii ndo ligi ya klabu bibgwa Afrika .
Kama mwanasimba bado naiona timu ikifanikiwa kikubwa koch afanyie kazi maeneo ya kati na beki za pemben hasa upande wa Shambala jamaa kiukweli ataftiwe mbadala vinginevyo huko mbeleni hali haitakuwa poa.
 
Mfano watu mnaomsema Kibu D na Ntibazonkiza katika watu wanacheza kwa kujituma ni namba moja...anamorale na anasaidia kupush mipira mbele lakini sasa akikosa goli atasemwaaa weee mnadhani huwa haoni?? Lazima inamuumiza...sawa ana makosa yake lakini pia ana mazuri yake..
Sitaksahau katika historia alivyowakand uto kwa mshuti mmoja mkali mnooooo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…