Aisee mmecheza na timu kubwa sana Africa. Power dynamos ni hatari kuliko hata Wydad na Mamelod.Nendeni kwenye page yenu ya amapiano na wakimbizi wa sudan wenye njaa na saikolojiko problems....
Ila nyie ma uto mna bahati na vimeo...
Super ligi tujitoe tu.Jamani nauliza hiviiiii...huu muunganiko qa kipindi cha pili kocha alikua hauoni mapema wangeanza??halafu naanza kumwelewa kocha hataki ngoma aumie...anamuandaa kwa ze supa ligi...
Timu kali zinapatikana kwenye makundiAisee mmecheza na timu kubwa sana Africa. Power dynamos ni hatari kuliko hata Wydad na Mamelod.
Au nasema uongo ndugu zanguni
Wameshakuja utawajua tu kwa komenti zaoSuper ligi tujitoe tu.
Kuna dalili za kupigwa kama ngoma
Ulikubaliana na vyura wenzakoLakini si tulikubaliana tangu mwanzo ya kwamba timu za Kiarabu ni ngumu!!! Au tubadili huu mtazamo kuanzia sasa!!
Tulivyocheza leo ndio tukacheze na Al ahly?Wameshakuja utawajua tu kwa komenti zao
Sio kwa ubaya lakini.....Aisee mmecheza na timu kubwa sana Africa. Power dynamos ni hatari kuliko hata Wydad na Mamelod.
Au nasema uongo ndugu zanguni
Kwetu kumekuchaaa...vipi mmetuzidi goli ngapi tuwape maua yenuHamjambo droo fc 🤣🤣🤣
Ufurushwe wewe usiyekuwa na mchango wowote zaidi ya kelele.Kocha na golikipa wafurushwe
Wewe ndo unajua maana ya mpira na utani.mimi ni yanga, na nimefurahi tulichokifanya kule kigali. ila niwapongeze watani, kiukweli mmepambana na ninajua hapo utu tuvijana tukija dsm tutajuta kuzaliwa. bongo mtakuja kuwachapa za kutosha. wachezaji wazuri na wafungaji mnao wa kutosha, tofauti na sisi yanga tunao viungo ila wafungaji hatuna.
Watakufukuza wakiona hiimimi ni yanga, na nimefurahi tulichokifanya kule kigali. ila niwapongeze watani, kiukweli mmepambana na ninajua hapo utu tuvijana tukija dsm tutajuta kuzaliwa. bongo mtakuja kuwachapa za kutosha. wachezaji wazuri na wafungaji mnao wa kutosha, tofauti na sisi yanga tunao viungo ila wafungaji hatuna.
Sijui makocha wanafanya Nini yaani wachezaji wanacheza Kama wapo mazoeziniHii timu ni nzuri sanaaaaa na hatari sanaaaa kama wakiwa na ONE SPIRIT na wachezaji wakiambiwa waifie timu na kupamba. Ila hii ya kimazoea na kifaza itaigharimu Simba.
Wachukue hatua haraka sana
Huyo ni utopwoxUfurushwe wewe usiyekuwa na mchango wowote zaidi ya kelele.
Waarabu gani anawaongelea hao waarabu koko wenye njaa...Ulikubaliana na vyura wenzako
Kaka ukiangalia vyema huu Mpira umedunda hivyo alikosea timing hii makipa wengi wamefungwa
View: https://youtu.be/ihKXcFqSI4c?si=Qr4E-USySoh585KqMkuu angalia tena hili goli. Kipa alilimama kama mtazamaji hakuenda na move
Nilijua wewe ni mkia....aisee kama ni TAIFA stars umechagua fungu jemaNa kule nimewaambia hivyo hivyo.
Mimi Taifa Stars.
Angalia goli la 2 utajua kwa nini huyu jamaa ni mwambaChama ni mtu mmbaddd....
Wamempa maua yake kina Mbwaduke...