Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Wekundu wa Msimbazi Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika kuendelea kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa na Simba Day, leo Agosti 1, 2022 amejitupa uwanjani kucheza na Al Akhaood Club kutoka Saudia Arabia, kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki, ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila, mchezo uliopigwa Jijini Ismailia nchini Misri, mabao yakifungwa na Gadiel Michael na Augustine Okrah.
Huu ni mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa kwa Simba SC kuchezwa wakiwa Misri, ambapo Agosti 4, 2022 kikosi kinatarajia kurejea Jijini Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day.
Huu ni mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa kwa Simba SC kuchezwa wakiwa Misri, ambapo Agosti 4, 2022 kikosi kinatarajia kurejea Jijini Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day.