Aliburuza na magoti bila kujali visiki vya uwanjaNasikia mayele alivua shati alipofunga dhidi ya frendi renjazi
Bigirimana yeye Hana shida na goal Cha msingi ale ashibe tuAliburuza na magoti bila kujali visiki vya uwanja
Kambole kwa kufunga goli moja tayari mwenzetu kaishafunga mahesabu
Kila mwaka lazima atupie goli moja kwa hiyo huu mwaka hana deni tena
Kwani alivyowatandika makolo msimu jana alivua pia?Nasikia mayele alivua shati alipofunga dhidi ya frendi renjazi
Hata alipomtungua Manula msimu ulipita aliburuza magoti kama ulitazama vizuriAliburuza na magoti bila kujali visiki vya uwanja
Kambole kwa kufunga goli moja tayari mwenzetu kaishafunga mahesabu
Kila mwaka lazima atupie goli moja kwa hiyo huu mwaka hana deni tena
Yule ni multitalents ukimkosa kwenye pitch utamkuta depoBigirimana yeye Hana shida na goal Cha msingi ale ashibe tu
Alivua chupiKwani alivyowatandika makolo msimu jana alivua pia?
Na kweli yeye mjanja anatumia maji badala ya toilet paper....Hata alipomtungua Manula msimu ulipita aliburuza magoti kama ulitazama vizuri
Huyu jamaa mjinga sanaa
Tarehe 13 kama kawa anafumua mshonoAlivua chupi
Uzi umetulia vibaya mnooo.. Hii ndio jezi sasaWekundu wa Msimbazi Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika kuendelea kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa na Simba Day, leo Agosti 1, 2022 amejitupa uwanjani kucheza na Al Akhaood Club kutoka Saudia Arabia, kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki, ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila, mchezo uliopigwa Jijini Ismailia nchini Misri, mabao yakifungwa na Gadiel Michael na Augustine Okrah.
Huu ni mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa kwa Simba SC kuchezwa wakiwa Misri, ambapo Agosti 4, 2022 kikosi kinatarajia kurejea Jijini Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya Simba Day.
View attachment 2311477View attachment 2311478
[emoji23]Bigirimana yeye Hana shida na goal Cha msingi ale ashibe tu
yote kheriSawa, Kama ilivyo kwenu wale wapunguza vitambi mliocheza nao Avic Town
Sawa, Kama ilivyo kwenu wale wapunguza vitambi mliocheza nao Avic Town