Wamekoswakoswa tenaHebu tulia bana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizanaaa, kila mtu anatazama hii game.Goooal
Wamekoswakoswa
Akili ndogo sana zimetumika...Kwema, hawa jamaa wamenijaza upepo mapema sana aiseeh.
Goli gani lile?
Yuko ugenini sheikhAl Ahly wamenyimwa penalty ya waI kabisaaaaa
Wajinga kabisaDaah watie moyo mkuu, wapambanaji wetu
Hapa Naona Half Time Kuna Goal Zaidi Ya MojaNisamehe mkuu,nimekosea π
Kona kwa Al Ahly tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizanaaa, kila mtu anatazama hii game.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu amka, utajikojolea bureee.Nitashiriki Vipi Kombe La Mbuzi Mwaka Jana Nilikuwa Shirikisho Mwaka Huu Naenda Final