[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho nayo ni siku, kaa kwa password babuu.Pole mjukuu
SahihiHili goli tuliloruhusu litatugharimu sana 2nd leg
Nguvu hizo watakuwa nazo sasa 😀Wana5imba mkatafute mabao nje ya uwanja sasa
Huku bado ni dakika ya 70Mpira umeisha
Kila mtu apambane na hali yakeMwenzio akinyolewa zako tia maji, ngoja tuone kesho itakuwaje kwetu.
Makolokolo tumeupiga mwingi sana, Utopolo kesho watatukoma.Dah hapa.kulala bila Pombe vigumu sana usingizi hauji kabisa