FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

Simba wamefanya kamari ya kijinga sana, chukua kombe ila bado haitapoza hasira za mashabiki kivile maana wengi wanaona ni kombe lisilokua na tija, ila atleast itawapa ahueni, ila sasa wakifungwa naona damage itakua kubwa sana kwa mashabiki kushinda hata wakichukua, unnecessary gamble imo!!
 
Simba hamna timu pale, Try Again awapishe wenye uwezo waongoze timu, kubadilisha makocha kila siku hakuna maana tena.
 
Leo ni MAGAIDI FC Vs NGURUWE FC



πŸ–πŸ–πŸ–
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…