Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Acha kulisha watu matango pori, hata aibu huna!Kamela zilichelewa kuonesha tukio mapema.
Kapombe alisukumwa kabla ya kuruka akasogea mbele na kuanguka.
Mfungaji aitumia hila na ujanja.
Asante Saanya kwa umakini wako uliotukuka.
View attachment 2030165
Mpira haukua na kasi na manula alikua na uwezo wa kuucheza, lakini akauacha. Ni dhahiri kapombe alikua wa kwanza kuruka na akasukumwa .. punguzeni hasira [emoji38]Acha kulisha watu matango pori, hata aibu huna!
Vaa miwani uone vizuri.
Alafu kama angekuwa amesukumwa Manula lazima angelalamika na hata huyo Kapombe naye angelalamika
Msome mwenyewe hapa alivyojieleza.Acha kulisha watu matango pori, hata aibu huna!
Vaa miwani uone vizuri.
Alafu kama angekuwa amesukumwa Manula lazima angelalamika na hata huyo Kapombe naye angelalamika
Akili bure kabisa.Msome mwenyewe hapa alivyojieleza.
View attachment 2030336
Ndio ni ligi dhaifu mno lakini historia itaandikwa Simba alifanya vizuri ndani na kimataifa,wenye ligi bora kina Al Ahly na As Vita wanakalishwa na Simba.Shughuli tukitoka nje sasa ndio unashangaa mwamba wa Lusaka hata kwenye bechi la akiba anakosa namba, kumbe ukweli ni kwamba ametoka kwenye ligi dhaifu.
Mbona Hamchukui Hayo Makombe Mbele Yao Kama Kweli Mnawakalisha?Ndio ni ligi dhaifu mno lakini historia itaandikwa Simba alifanya vizuri ndani na kimataifa,wenye ligi bora kina Al Ahly na As Vita wanakalishwa na Simba.