FT: Simba S.C 6 Majimaji 1.... Ibrahim Ajibu is back

Tunakimbiza mwizi kimya kimya.. Hutaamini nafasi tutakayokua ligi itakaposimama kwa ajili ya mapumziko.

Hongereeni Mikia, ... na ninyi mnawindwa kimyakimya, Mtibwa na Azam wako mawindoni dhidi yenu.
 
Hongereeni Mikia, ... na ninyi mnawindwa kimyakimya, Mtibwa na Azam wako mawindoni dhidi yenu.

Ole wao wakutane na Mnyama huyu ambae hana utani kabisa akiwa mawindoni.
 
Hahaha.. Sisi na Azam tu ndugu.. Hivyo tutajua tutafanyaje.

Kama hamuwezi kuwafunga basi wao wawafunge vinginevyo basi mtoe suluhu/sare kama itakavyowapendeza ninyi. Kwa matokeo ya ninyi kumfunga Azam au Azam kuwafunga ninyi au kutoa sare/suluhu kwetu ni poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…