XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Mnyama mkali Simba kuvaana na jkt Tanzania kwenye kombe la shirikisho la Azam ASFC, Leo saa 1 kamili usiku.
Kikosi tayari kimewasili uwanjani tayari kutafuta ushindi dhidi ya jkt Tanzania, hope itakua mechi nzuri na ya kuvutia, na yenye kila aina ya ufundi.
Kikosi ni kama kinavyoonekana hapa chini, hivyo for more updates ambatana nami hapa kwa dk zote 90.
=================
00' Mpira unaanza dimba la Benjamin Mkapa kombe la shirikisho la Azam Sports
09' Kanoute yuko chini baada ya kugongana na Ramadhan wa JKT Tanzania
12' JKT wanapiga mpira wa adhabu ndogo nje kidogo ya 18 lango la Simba, mpira unakosa manufaa kwao
26' Kibu Denis anaitanguliza Simba
45+2' Mpira mapumziko, Simba SC 1-0 JKT Tanzania
45' Mpira umerejea kutoka mapumziko
90+3' Mpira umekwisha uwanja wa Mkapa, JKT Tanzania wanaaga michuano ya Shirikisho
0
Kikosi tayari kimewasili uwanjani tayari kutafuta ushindi dhidi ya jkt Tanzania, hope itakua mechi nzuri na ya kuvutia, na yenye kila aina ya ufundi.
Kikosi ni kama kinavyoonekana hapa chini, hivyo for more updates ambatana nami hapa kwa dk zote 90.
=================
00' Mpira unaanza dimba la Benjamin Mkapa kombe la shirikisho la Azam Sports
09' Kanoute yuko chini baada ya kugongana na Ramadhan wa JKT Tanzania
12' JKT wanapiga mpira wa adhabu ndogo nje kidogo ya 18 lango la Simba, mpira unakosa manufaa kwao
26' Kibu Denis anaitanguliza Simba
45+2' Mpira mapumziko, Simba SC 1-0 JKT Tanzania
45' Mpira umerejea kutoka mapumziko
90+3' Mpira umekwisha uwanja wa Mkapa, JKT Tanzania wanaaga michuano ya Shirikisho
0