Football is overrated in this cursed cou......
Mie nipo kihonda mida hii, mnyama ndiye kanifikisha mji kasoro bahari 😂
Hawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Hawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Hamna uwezo wa kuifunga Prison 4Hawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Jwaneng walishajifia hata wangecheza na Mtibwa sugar wangepigwa nyingi Tu .. Ngoja Leo utaona Zabona AtakachowafanyaKwani tulivyowakanda Ndugu zenu wa Jwaneng' mlisemaji kabla?
Mechi ya kuiwekea mkeka hii.