Uyo si ndio namba 1 au?Mambo gani ndugu yetu Kipa anatoka sana
Hahahahahaaaka clean sheet kamekuwa shit...😁
HahhaahahaaaNa Simba wakidraw Leo ndio ubingwa imeishia hapo.
kipa mnae 🤣🤣Niko mkuu.
Natizama ball hapa
DuuhNa Simba wakidraw Leo ndio ubingwa imeishia hapo.
Yaani waliishika mechi hata magoli tuliyofungwa ni uwezo binafsi wa mchezaji.Kama 1st half wameondoka 2-0 uhakika wa 5G ulikuwepo
TunashindaNa Simba wakidraw Leo ndio ubingwa imeishia hapo.
Usijali ni ball tukipa mnae 🤣🤣