ana akili akiwa timu ya wasiojua, wanao jua hamna kituChama ana akili sana lakini Hawa wapuuzi wawili akina Kibu wameleta Ufala kabisaa. Yanakimbia tu bila plan. Mmmmmmae
Dhahiri shairiMwamba wa Lusaka amewahi mapema sana...
Huyu mwamba anaujua mpira aisee..
huna timu ya kushnda hapo unapigwa ama drawTulia wewe tuwapige nyingi
Acha makisiriko mwanaume hawi hivihahahaha mchezaji wenu wa mechi za kijinga jinga ndo anaonekana
Wewe wasemahuna timu ya kushnda hapo unapigwa ama draw
Chama angejua, bora angemalizia mwenyewe. Goli la wazi wamekosaChama ana akili sana lakini Hawa wapuuzi wawili akina Kibu wameleta Ufala kabisaa. Yanakimbia tu bila plan. Mmmmmmae
Wapuuzi Sana. Halafu Baleke aambiwe akabe wachezaji wa horoya wanakuwa free sanaKibu na Baleke Mungu anawaona