BarabaraAsulubiweeeeeeee
Huko ndo tunapoelekea mkuuIko siku moja kila Mtanzania atashabikia Simba
Dunia nzima hakuna timu kama Simba
kwa horoya na vipers dau ilitakuwa kuwa laki 5 hizi timu uwezo wake na malimao ya katavi havipishani sanaNaambiwa kwa mechi ya leo tushavuna milioni 20
Mpaka aseme nani aliyemtumaaaBarabara
Ikiuma chomoayule aliye kuwa anaomba wao wapewe hela nyingi kwa kuwa wapo club bingwa anaona aibu timu zenyewe za club bingwa ndo hizi
1.vipers
2. horoya