Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
NakojooaaaaaUwiiiiiiiiiiiiii la tano
Bado nyingine mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imetosha sasa
Bado mbiliNimechokaaaaa
AdiΓ³s ππππππSolo liete un poco π
Bado 2Imetosha sasa
Kweli mkuu [emoji3][emoji3]Nakojooaaaaa
Wanathibitisha kipa wa awali hakua mjinga ila uwezo wa hizi njemva ni balaa.Wanaume wa kazi wako kazini .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama ametuma msg nyingine, anasema mkifunga lingine hela za yanga kesho tutawapa sisi.Mama katuma msg, kasema inatosha.
Kuna wenzetu kesho tuwaachie hata mil 5.