Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,221
mzee inafahamika horoya hawana cha kupoteza baada ya raisi wao kuwazingua ahadi ya kuwapa fedha zao m100Horoya sijui wanacheza nini?
Yn ni furaha sn siamin jmn km tumeshinda goli 7Mnajua mpk nashindwa cha kuandika walaiii
Itabidi Mama amtume Madelu akakope tena maana kwa mvua hii ya magoli sidhani kama ataweza kulipa. BOT wameshapaniki wanalaumiana tu yaani!
View attachment 2556870
Wachawi hata kanisani wapo.Bomu mochwari
Umekuwa mkweli sanaSimba siwapendi ila kwa hili gozi nimekubali kiaina
unawakubali vp wakati jamaa walikuja kamilisha ratiba tuSimba siwapendi ila kwa hili gozi nimekubali kiaina
Ha ha ha[emoji23]Pumbavu