Leo lazima tuidai serikali. Weekend hii na Hazina hakuna mtu zaidi ya Suma JKTHuyu msigwa kabeba sh.ngapi kwani?
Chama have destroyed those smugglers single-handedly dadeki aisee [emoji23]
La kuomba msamaha ..Raisi kesho atoe tamko
Nikununulie 7up upoze koo 🤪Weraaaaaaaaaaaaa
Nipo hapa🤣🤣🤣
#sijapentaaa
TunaipatajeAsante Simba,
Kwenye milioni 35 za Mhe. Rais naongeza laki 1
Leo lazima tuidai serikali. Weekend hii na Hazina hakuna mtu zaidi ya Suma JKTHuyu msigwa kabeba sh.ngapi kwani?
Leo hujanywa mdafu? Na nyie kesho wadhalilisheni waarabu wakasimulie kwaoHakika mnastahili pongezi. Leo mnampiga mtu kama ngoma.