Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Simba nzima hamna mkaka wa hivyo ๐๐๐๐๐ muulize reymage atakuonyesha ilipo picha yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear hebu utulie kwan bas, sisi tuna furaha ya ajabu, huyo rais picha yake iko wapi kwan?
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]Hawa Horoya sijui kama watakubali kurudi Tanzania
0755862412Jamaniii atakaye weka namba hapa namrushia buku tano fasta niko kwa wakala
Ni ruksa kucheka ila usiwe karibu na kambi ya Horoya wakakusikiaWydad Casablanca, Esperanse Tunisia au Mamelodi Sundowns.
Nacheka lakini naogopa!
HypeUto kama Uto...anaposhangaaa...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji849]Mzimu wa 'Bob junior' umehusika na mauaji huko 'Lupaso'..[emoji23][emoji23]
Umechelewa japo zawadi hamna0755862412
Kile kiwango tulivhowapihia pale hata wangeahidiwa kuhongwa dunia wangekuwa wanachapikaangewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomo
Vocha will do ๐๐.....Pesa au vocha 5000
SwadaktaKwa boli hili,mashindno haya na magoli haya ya kideoni halafu mama anatoa kiwango sawa kama wale loosers,Washauri wa mama kwenye michezo wamekosea sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa Timu Gani Mlokuwa Nayo Nyie Zuwena FC, Mzamiru, Kyombo, Bocco Na Sawadogo Ndio Wanawapa Kiburi Sio?
Dah yaani huwa hamtaki kabisa kukubali uwezo wa mnyama! Lazima mtafute sababu tu ya kumdharau. Hivi simba angefungwa leo ungeandika ulivyoandika? Mkuu mpira ni wa uwazi kabisa ifike wakati tukubali uwezo wa simba, kwa leo simba wamebadilika sana tofauti na mechi tatu zilizopita. Makosa waliyoyafanya horoya ni ni kuidharau simba wakiamini wanaweza kufanya chochote matokeo yake wakakutana na simba iliyoimarika sana leo wakapotea mazima kilichofuata ni 7 bila.no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao
raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
Mimi ni wakala nimekuwekea acha kunidanganya๐ฌKakupiga hamna kitu
Tayari amewahi mtoto halali wa helaNilshatia maguu pm kuisubiri offer yaan๐
Umepokea TSh 5,000 kutoka kwa Wakala - IBRAHIM JUSSA, Salio lako jipya ni TSh 15,048. Kumbukumbu no.: 367803097. 18/03/23 22:33. Furahia punguzo la Tozo unapofanya miamala kwa Tigo Pesa. Piga*150*01# au tumia Tigo Pesa AppNimekuwekea mkuu jina la wakala Ibrahim Mussa๐๐๐ฝ
Meseji imechelewa asante boss ladyMimi ni wakala nimekuwekea acha kunidanganya๐ฌ
Nilitaka kushangaa nimekosea namba nirejeshe pesa yangu๐คจ๐๐Umepokea TSh 5,000 kutoka kwa Wakala - IBRAHIM JUSSA, Salio lako jipya ni TSh 15,048. Kumbukumbu no.: 367803097. 18/03/23 22:33. Furahia punguzo la Tozo unapofanya miamala kwa Tigo Pesa. Piga*150*01# au tumia Tigo Pesa App
Hujakosea, lini Tena offer ๐๐๐๐Nilitaka kushangaa nimekosea namba nirejeshe mia Muamala๐คจ๐๐