Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Klabu ya Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan [emoji1232] imecheza mchezo wa Ligi Kuu Sudanese Premier League (SPL) kwenye uwanja wake wa nyumbani Al Hilal Stadium, dhidi ya Wad Nubawi SC, na kufanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao manne kwa bila 4-0.
Al Hilal Omdurman wanatarajiwa kucheza na Yanga Africans, kwenye mchezo wa marudiano wa michuano ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jumapili ya Oktoba 16, 2022 kwenye Dimba la Al Hilal Stadium.
Je, Simba SC na Yanga SC na Azam FC wanaweza kucheza mchezo wa Ligi Kuu siku tatu kabla ya kucheza michuano ya CAF?
NB: Ligi ya Tanzania [emoji1241] ina mapumziko sana yasiyokuwa ya kawaida.
Al Hilal Omdurman wanatarajiwa kucheza na Yanga Africans, kwenye mchezo wa marudiano wa michuano ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jumapili ya Oktoba 16, 2022 kwenye Dimba la Al Hilal Stadium.
Je, Simba SC na Yanga SC na Azam FC wanaweza kucheza mchezo wa Ligi Kuu siku tatu kabla ya kucheza michuano ya CAF?
NB: Ligi ya Tanzania [emoji1241] ina mapumziko sana yasiyokuwa ya kawaida.