Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kansas Chiefs wamekuwa mabingwa wa mpira wa marekani kwa miaka mitatu mfulilizo. Leo hii wanapewa kibao sana na Philadelphia Eagles. Miaka ya nyuma kidogo mwanafunzi wangu mmoja alikuwa akichezea Kansas Chiefs na mwingine alikuwa akichezea Phildelphia Eagles. Wote wameshastaafu mpira huo sasa hivi.
Hadi ninaandika post hii, wako kwenye robo ya pili na Philadelphia wanaongoza kwa point 17-0
Hadi ninaandika post hii, wako kwenye robo ya pili na Philadelphia wanaongoza kwa point 17-0