Tulikuwa tunalia sub hapa,kafanya sub Phiri kaingia kasababisha penatiHuyu mzee bwana.
87Dakika ya ngapi
Prisons 1-3 Simba
Mashabiki wa Simba hatuna Furaha
AshamtoaJamani kwanini Kocha asimtoe Bocco?
Kabisa yaniLeo chilunda hata angepewa dakika5
Hata hao tutawafunga hivihivi, tukiwa hatuna furaha.Prizon sio ndugu zetu.. Tusubir singida
🤣Makamu wa rais
Simba 3Ashamtoa
Yaani bocco katoka na bao limepatikana[emoji1787][emoji1787]Prisons 1-3 Simba
Mashabiki wa Simba hatuna Furaha
Prison wameniangusha
Hii mechi ni draw mkuu endelea kukomaaHongera mtani