Kutangulia si kufika.. Aliye juu mfuate hukohuko [emoji23]Full Time:
Prison 1 - 3 Simba
Asante Simba
#Nguvumoja#
Kwahiyo leo mnacheza vizuri sio .!??
Refa mzuri leo!?
Mikia bana..
Muwekage akiba basi
Kwamba ime kuu ma?Kwahiyo leo mnacheza vizuri sio .!??
Refa mzuri leo!?
Mikia bana..
Muwekage akiba basi
MmeanzaNani alisema mechi za Mbeya ni ngumu?? Nani🤣🤣
HeehKulia kupokezanaaaaaaaaaaa, na bado.
Kumbe Prison nao wana Aziz Ki wao?
GENTAMYCINE jiandaeni kabisa.
Hongera sanaHaya wale wa jangwani tupo kupokea malalamiko, penati ya kupewa eenhe
Visingizio vimeanza [emoji23]Wamecheza rafu nyingi sana hawa Wajera jera
SawaBonge la goli