FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Yanga day kuna mahali hapajakaa sawa
1. Viingilio vikubwa mno ndio maana hapajajaa, wangeweka viingilio wezeshi ili wanachama, mashabiki wa mpira Tanzania wapate fursa.

2. Shughuli haijaratibiwa kiweledi tofauti na tulivyozea.

Simba na Yanga zinatupunguzia stress. Tuongeze weledi walau tuje kua na 1 au 2 kwenye derby za kutazamwa AFRIKA.

UTANI
Viingilio vya leo ni kwa ajili ya kufidia manunuzi ya yule aliyepunguza hela za kuweka kambi nje.
 
Hiki ndo kile kitakachowakuta kimataifa hawa wenzetu, mpaka hapo wangekuwa na mlima mrefu wa kupanda[emoji23]
 
Kwa lile boko la mchezaji wa Yanga, walistahili kabisa kufunga.

Haiwezekani mpira uko karibu na goli la mpinzani, badala ya kushambulia ukafunge! Eti unarudisha golini kwako, na kumpasia adui!!!
ngoja tuone ngoma bado mbichi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…