ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Uto ni hapa hapa tu ww tangu 98 ndo waliingia makundi leo waingie kwa lip walilo naloIlitakiwa wawekwe goli kipindi cha kwanza ili waendelee kupaki basi kwa kuhofia kuruhusu magoli mengi, sasahivi majamaa yamewazoea[emoji16].
Mambo ya akina ARAGIJA hayapo huku, hapo ingekuwa ni NBC PL hilo lilikuwa ni goli.Line 2 yuko vizuri...
NakubaliBinafsi sina deni na Mayele ameonesha uwezo wake
Lakini si ni mchezaji wa Yanga?Bila Mayele utopolo hamna kitu
Labda mshinde 3 au 4Mpira bado
HahahaMambo ya akina ARAGIJA hayapo huku, hapo ingekuwa ni NBC PL hilo lilikuwa ni goli.
Pole jamani mkeka umeunguaMpira bado
Umepata like yanguSo far hata kama ni offside ila Mayele leo kakiwasha
π€Pole jamani mkeka umeungua
Tupoooooooooooo[emoji169][emoji172]Tuko pamoja jamaniiiii?????[emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Tupo β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈTuko pamoja jamaniiiii?????ππππβοΈβοΈβοΈ
ππΌLabda mshinde 3 au 4