FT: Yanga Princess 0-1 Simba Queen, Ligi ya Wanawake

FT: Yanga Princess 0-1 Simba Queen, Ligi ya Wanawake

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
22aae586b71340e891c3f0f40cee470b.jpg

Simba Queens imeendeleza ubabe dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliochezwa Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

Bao la Vivian Corazone limetosha kuipa Simba pointi tatu muhimu dhidi ya mtani wake ambaye kwa miaka ya hivi karibuni amekuwa mnyonge.

Katika Ligi Kuu ya Wanawake Yanga haijawahi kuifunga Simba ndani ya misimu mitano, mara ya mwisho ikiwa ni 2018 kwa ushindi wa bao 1-0.

Tangu 2018 mchezo wa leo baina ya wababe hao ni wa 13 lakini Yanga imeambulia ushindi mara moja tu huku ikifungwa mara 9 na kutoa sare mara tatu.
 
Mfungaji ni Diana Ibhobho (OG) mchezaji wa zamani wa malkia akaona isiwe tabu wacha asaidie chama lake la zamani kuweka mambo sawa
 
Back
Top Bottom