Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Tutaambatanisha na vyeti kabisa vya HAMSA HAMSA kwa zile timu 3 zilichowafanyia ninyi Mbumbumbu [emoji1787][emoji2960]Na sisi tutawakumbusha yale yenu 6 kwa sufuri uzuri Raja alishawafumua na nyie
Yaan bongo kwa vichekesho ni noma.Hamna ligi hapa huu uhuni na upangaji matokeo
Halafu mbona kama mmeiba nyota ya Simba? Akishinda 4 na nyie mnashinda 4, akishinda 3 na nyie hivyo hivyo.Na hili jambo Tulianza kwenye mechi na Simba ya kufungua msimu mpya wa ligi. kwaio Simba ndio iliwafungulia woooote kupigwa goli kipindi cha pili
Watu wamestaarabika siku hizi, nyie bado mnatumia mbinu za kizamani zilizokuwa zinafanya timu kugomea kwenda vyumbani wakati wa mapumziko. Hatutaki kurudi huko.mechi ya simba haiko mbali nafikiri wajifunze kutuzuia kipindi cha 2 dk za mwanzoni tofauti na hapo watajuta
Aaaah mkuu.....vijana wetu wamepiga kazi nzito[emoji1666][emoji1666]Wananchi wenzangu Tate Mkuu, ukikaidi utapigwa2 , babu onyango , Joseverest Bantu Lady , Daudi Mchambuzi, Kilimbatzz, Labani og, Shadeeya na Wana Yanga wotee tujongee kulisapoti chama letu[emoji123]
mkuu unasahau mapema sana mwenye mchezo huo hadi timu toka nje wakalalamika anafahamikaWatu wamestaarabika siku hizi, nyie bado mnatumia mbinu za kizamani zilizokuwa zinafanya timu kugomea kwenda vyumbani wakati wa mapumziko. Hatutaki kurudi huko.
Leo vipi utaoa hutoi?Namalizia hapa nilale
Wewe mwarabu feki haujarudi kwenu MoroccoMwaka huu hatuachi kitu, tulianza na ngao ya jamii Mayele akawaweka mbili, Nbc hiyoo tayari, shirikisho ndio linalofata baadae tunaenda kuchukua kombe la Dunia[emoji23][emoji23][emoji23] Mbape na mess wajiandae
Hayaruhusiwi? basi Yanga iwe inacheza dakika 45 tuMsimu mzima kwenye ligi mnafunga magoli kipindi cha pili tena baada tu ya mpira kuanza.
Mkuu mbona kama nyie mliwashwa bao 3-0 na raja kesho yake sisi tukampiga Mazembe bao 3, juzi nyie Kwa vipers mmeshinda ka goli ka Moja ka mungu nisaidie, sisi kesho yake tumembonda mtu 2-0 na mpira mwiiiiiiiingi...Halafu mbona kama mmeiba nyota ya Simba? Akishinda 4 na nyie mnashinda 4, akishinda 3 na nyie hivyo hivyo.
Kipa wa Vipers kachaguliwa na CAF kuwa kipa bora wa wiki kwenye CL, unadhani ni kwa nini?juzi nyie Kwa vipers mmeshinda ka goli ka Moja ka mungu nisaidie
Ngojeni, tutalipatia ufumbuzi suala lenuHayaruhusiwi? basi Yanga iwe inacheza dakika 45 tu
Hamjakata keki kwa rekodi hii kweli??manake hamnaga dogo nyieTuweke rekodi sawa.View attachment 2547854
Labda cafccl ya buzaDar yang Africa Bab lao
Hyooooooo naiona yanga ikicheza fainali za cafccl
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app