FT: Yanga SC 2-1 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 08.02.2024

Japo mimi ni simba ila Utopolo wanakamiwa sana na hizi timu zote za ligi sasahivi, hii nadhani inatokana na ule mnara wa 5G tuliopigwa kwaio na wao wanaogopa wasiwe miongoni mwao
5g zimetuponza wanatukamia sana madogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…