Kama ni kuendeleza ubabe basi Kayoko lazima ahusike, kinyume na hapo πΈπΈhawatoboi hao wastaafu wa TASAFYanga ataendeleza ubabe mbele ya Kagera sugar!
Wamebakia na local games onlyMzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara unarejea tena je Yanga ataendeleza ubabe mbele ya Kagera sugar!
View attachment 3220543
NB: Mimi sio mwana_utopolo.lolote baya liwapate.
Na kweli hamuwezi kuangalia maana siyo kwa vipigo mnavyovipata kutoka kwa Yanga.Watu wenye akili timamu hatuangalii utopolo nyuma mwiko... TUNAFAHAMU MECHI NI KESHO JUMAPILI. Vibonde hamisa fc nyie rukenirukeni leo.
Waendelee kununua mechi......Mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara unarejea tena je Yanga ataendeleza ubabe mbele ya Kagera sugar!
View attachment 3220543
NB: Mimi sio mwana_utopolo.lolote baya liwapate.
Utapataje ujasiri wa kuangalia wakati na wewe ni muhanga wa kichapo,,kwani Kagera ndio atakuwa wa kwanza kutandikwa? Aliyepasuliwa mechi 4 mfululizo ndio kibonde namba Moja!Watu wenye akili timamu hatuangalii utopolo nyuma mwiko... TUNAFAHAMU MECHI NI KESHO JUMAPILI. Vibonde hamisa fc nyie rukenirukeni leo.
ππWaendelee kununua mechi......
Kesho hamna mechi. Refa ni Amina, hapo hamna mechi bali ni maigizo tu.Watu wenye akili timamu hatuangalii utopolo nyuma mwiko... TUNAFAHAMU MECHI NI KESHO JUMAPILI. Vibonde hamisa fc nyie rukenirukeni leo.
Tumia Azam maxLeteni link
Nikiwa pande za Goma ili kuleta ukomboziKila la kheri Yanga SC π π π π nikiwa pande za huku kigamboni baadae naingia mwenge kucheki game Yanga SC bingwa π π
Leo kutakuwa na penat