princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mi pia simtaki hafai ndo akina mayele haoSitaki feisal achukue hiki kiatu hafai
wakati tunaona hastahiliNilitamani feisal achukue tu Hiki kiatu, tff siasa nyingi hapo lazima wampe feisal most valuable player (MVP) ili wabalance mambo
Wakitaka pavurugike ndio wajaribu faulo kama unayoitaka wewe. Ni kiti ambacho hakiwezekani hata wakicheza na siasa za Golbachov. Mtu kazidi mabao,halafu wamzawadie mwingine?Nilitamani feisal achukue tu Hiki kiatu, tff siasa nyingi hapo lazima wampe feisal most valuable player (MVP) ili wabalance mambo
MVP sio top scorerWakitaka pavurugike ndio wajaribu faulo kama unayoitaka wewe. Ni kiti ambacho hakiwezekani hata wakicheza na siasa za Golbachov. Mtu kazidi mabao,halafu wamzawadie mwingine?
Kabisaa. π€£π€£Tukitoka hapa moja kwa moja kwa Mwasibu jamani π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Nimecheka na hii COMMENT yakomkuu zipompa hii siringi ikoje niwekee ikoje na download au ni website. Hem kitufe chake ikoje. Asante Sana.
Mfungaji bora na mchezaji bora ni tofautiWakitaka pavurugike ndio wajaribu faulo kama unayoitaka wewe. Ni kiti ambacho hakiwezekani hata wakicheza na siasa za Golbachov. Mtu kazidi mabao,halafu wamzawadie mwingine?
Chumaaa
Azizi kiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!iiiiiiiiiiiiiiiii!π€Έπππ
19 goals
Kama unaniona kumbe hunioni..!ππ€ΈKama nakuonaa...
ye hakuwa mzalendo kusema kalishwa sukari na ugalYanga kuweni wazalendo basi hata kwa Fei
Hahahaaa. Lol.Yanga kuweni wazalendo basi hata kwa Fei
Halafu nimetaka kukutag sasa hivi aisee. ππYanga kuweni wazalendo basi hata kwa Fei
fei kote hayupo labda waamue kufoji tuMfungaji bora na mchezaji bora ni tofauti