Goli mmenunua hili au?? Beki mbovu za prisonMusondaaaaaaaaaa💚💛🤸
Nauona mkono 😃Musondaaaaaaaaaa💚💛🤸
Timu zote za GSM leo, Baabra aliwaambia ligi itakosa mwelekeo. Matokeo ndiyo haya sasa. Mpira wa mipango mipango tu huwezi hata kutumia utaalam kujua hilo.Aziz Ki ameshafunga mbili?? Imekuwa rede hii??
Au ndio anatembeza bahasha
🤣🤣🤣❤️❤️Nenda uzi wako wa Simbaaaaa
Kuliko ya simba na kmc?Hii mechi ya yanga na prison ni mechi ya uongo uongo. Hawa mabeki wa prison mpaka mtu unaona aibu kuangalia mpira.
Wamuache21 goals Azizi Kiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!🤸💚💛
Woyowoyowoyoooooooooooo
Woyoooooooo21 goals Azizi Kiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!🤸💚💛
Woyowoyowoyoooooooooooo
Kama nakuona vile, hii game nimeikosa ivi ivi21 goals Azizi Kiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!🤸💚💛
Woyowoyowoyoooooooooooo
Kiatu na mpira wakeWamuache
La katiHovyo sana. Utopolo mipango mipango tu. Ligi imeharibiwa na gsm