Wadau amani?
Naomba kuuliza kwa wale wamiliki au wanaozijua Nissan Elgrand hasa fuel consumption ikoje? Naomba kujua ya cc 3500 petrol E51.
Wadau wenye uzoefu plz msaada
Aksante.
Naona wenye hizo gari hawajitokeziWadau amani?
Naomba kuuliza kwa wale wamiliki au wanaozijua Nissan Elgrand hasa fuel consumption ikoje? Naomba kujua ya cc 3500 petrol E51.
Aksante.
Nissan Elgrand VQ 35 AWD inapiga 11.2 ltrs/100km kwenye combined circle.Wadau amani?
Naomba kuuliza kwa wale wamiliki au wanaozijua Nissan Elgrand hasa fuel consumption ikoje? Naomba kujua ya cc 3500 petrol E51.
Aksante.
VQ35 pia ipo kwenye FUGA.....raha sanaNissan Elgrand VQ 35 AWD inapiga 11.2 ltrs/100km kwenye combined circle.
Nishapiga nayo Dar - Arusha kwa range ya 70-85ltrs ikitegemea maspidi yangu na mzigo niliobeba.
Ila gari imetulia.
Full balance..kunyoosha kiatu 160kph imetulia hadi raha.
Hio engine imeibeba sana Nissan na imeshachukua tuzo mfululizo sana,hata kwny gari zake nyingi hio engine imehusika sana kama vile:
Asante mkuu. Mimi ni mnazi mkubwa sana wa Nissan. Ngoja niendelee kupata maoni ya wadau nione nafanyajeMkuu we nunua tu,mambo ya mafuta usiyafikirie sana unaweza kubadili uamuzi.Mi kuna moja inanifilisi,lakini najaribu kuitumia kwa safari ndefu tu,mishe mishe za karibu situmii.
Hio engine imeibeba sana Nissan na imeshachukua tuzo mfululizo sana,hata kwny gari zake nyingi hio engine imehusika sana kama vile:
Nissan Altima,Nissan Maxima,Nissan Murano,Nissan Skyline,Nissan Teana,Infiniti G35,Nissan Presage,Nissan Stagea,Nissan Quest.
Nissan Elgrand VQ 35 AWD inapiga 11.2 ltrs/100km kwenye combined circle.
Nishapiga nayo Dar - Arusha kwa range ya 70-85ltrs ikitegemea maspidi yangu na mzigo niliobeba.
Ila gari imetulia.
Full balance..kunyoosha kiatu 160kph imetulia hadi raha.
Hope uliinjoi the ride mkuu!Nissan Elgrand VQ 35 AWD inapiga 11.2 ltrs/100km kwenye combined circle.
Nishapiga nayo Dar - Arusha kwa range ya 70-85ltrs ikitegemea maspidi yangu na mzigo niliobeba.
Ila gari imetulia.
Full balance..kunyoosha kiatu 160kph imetulia hadi raha.
Naona wenye hizo gari hawajitokezi
.ushauri nenda google uanze na neno Nissan Elgrand (mwaka) E51 full specification....hapo utapata kila kitu...
Hapo utapata consumption kwa kila km100
Basi utachukua km 100 ugawanye kwa lita za mafuta zitakazotumika...utajua lita moja inakwenda km ngapi
mfano 6.8ltr/100km
Chukua 100 gawanya kwa 6.8 utapata majibu..
KUMBUKA...hiyo consumption ni gari ikiwa mpya kuanzia 0km....kwa gari used consumption itaongezeka kidogo...
mfano gari mpya kama inaenda Km 14/ lita...used yake itaenda si zaidi ya Km 13/lita.
Kila lakheri...usisahau kunipa lifti nasikia elgrand ni full comfortable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hiyo ya 2.5 ipo nafuu sana kui-run shida ni kuwa sio nyingiZa 2.5 zinakwenda almost 11.2km/l hiyo ya 3.5 itakua inakushuka kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana..chuma kinafunguka balaa.Hope uliinjoi the ride mkuu!
Sawa chief, ngoja niongezee familia yangu ya Nissan memba mpya!Sana..chuma kinafunguka balaa.
Ukikanyaga mafuta taa ya power inawaka na na kukukonyeza.
VQ 35 engine safi sana.