BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Binafsi nilikuwa nawaza simba imepata umaarufu mkubwankufundishwa na makocha wengi sehemu mbalimbali kwa.mda mfupi
Baada ya kumchukua omog nilijua watatulia na kuhangaika na mafanikio ya timu..majuzi naona tena wamemtimua omog
Historia yangu inanionyesha simba wakimfukuza kocha mechi zinazobakia wanaharibu sana na mojawapo ni kurudisha mamluki wachezaji wa zamani kamammakocha wakitafuta kocha toka nje
Ni vyema timu zingine zikaanza kujipanga nankuangalia je simba imefanikiwa nn ktk fukuza fukuza yote hii....
Naamini mh mo.na wengine wanasababu zao lakini n wakati muafaka kuwaasa watafute chanzo halisi n nini kinachopelekea timu kufanya vibaya....
Hist inaniambia kocha mmoja wa simba alifukuzwa huko huko znz na kombe hilihili
Nawaza hivi mapinduzi ndio kigezo cha kuonyesha uwezo ws timu yenu simba kweli ama n comedy inaendelea..,...
Naamini kocha unamfukuza pale anapowekanmalengo ya kuchukua ubingwa waligi na hakufanikiwa baada ya kuisha ligi...ananikumbusha yule.mzungu wa simba mliomfukuza znz anasema viongozi wamejaa ubabaishaji kila sekta hata aje kocha nani simba haitabadilika
Moja ya sababu kubwa amesema mkataba wale moja ya malengo nnkombe la ligi kuu sasa niko nafasi ya pili naenda znz natolewa kwenye kombe ambalo hata kwenye mkataba amjanielezea mnanifukuza
Akashukuru nakuwaambia hata walete morinyo shida simba sio kocha.....
Polennsana mliokuwa na mawazo ya kuchukua ubingwa mimba hioo lazima mzae tena na naniiwenu
Baada ya kumchukua omog nilijua watatulia na kuhangaika na mafanikio ya timu..majuzi naona tena wamemtimua omog
Historia yangu inanionyesha simba wakimfukuza kocha mechi zinazobakia wanaharibu sana na mojawapo ni kurudisha mamluki wachezaji wa zamani kamammakocha wakitafuta kocha toka nje
Ni vyema timu zingine zikaanza kujipanga nankuangalia je simba imefanikiwa nn ktk fukuza fukuza yote hii....
Naamini mh mo.na wengine wanasababu zao lakini n wakati muafaka kuwaasa watafute chanzo halisi n nini kinachopelekea timu kufanya vibaya....
Hist inaniambia kocha mmoja wa simba alifukuzwa huko huko znz na kombe hilihili
Nawaza hivi mapinduzi ndio kigezo cha kuonyesha uwezo ws timu yenu simba kweli ama n comedy inaendelea..,...
Naamini kocha unamfukuza pale anapowekanmalengo ya kuchukua ubingwa waligi na hakufanikiwa baada ya kuisha ligi...ananikumbusha yule.mzungu wa simba mliomfukuza znz anasema viongozi wamejaa ubabaishaji kila sekta hata aje kocha nani simba haitabadilika
Moja ya sababu kubwa amesema mkataba wale moja ya malengo nnkombe la ligi kuu sasa niko nafasi ya pili naenda znz natolewa kwenye kombe ambalo hata kwenye mkataba amjanielezea mnanifukuza
Akashukuru nakuwaambia hata walete morinyo shida simba sio kocha.....
Polennsana mliokuwa na mawazo ya kuchukua ubingwa mimba hioo lazima mzae tena na naniiwenu