Full List: Mastaa waliotajwa kuwania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA)

Tanzania eeh nchi yangu[emoji28][emoji28] yaani madirector wa kipengele cha video Bora ya mwaka hawapo kwenye kipengele cha video director of the year.

Pua......pua....pua
 
Dj bora wa mwaka ni kichekesho cha karne yani mtu aliye mbali na nchi umpe hao DJs kuwa ndio wakali anaweza azimie.

Kigezo ujichague.

Unajichaguaje? Unaingia kwenye mfumo wa siri.

Wanajuaje kama ni wewe ndio uliyejichagua??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona nyimbo za injili hakuna au huo sio muziki??

Enewei namuona Marioo/na Harmonize wakijizolea tuzo kadhaa hapo.

WCB itabebwa na Zuchu tu, Mbosso na ndguye Vanny boi wataangukia pua
 
Ila hii nchi ina safari ndefu mno katika kila jambo. Kila tunachofanya ni mithili ya watoto wa chekechea.

Sasa huu uchafu gani uliowekwa hapo?

Nilichogundua hata uwe na akili kiasi gani, ukiingia serikalini zinayeyuka zote. Mwana FA mbali ya kuwa mwanamuziki na yeye kaafikiana kabisa na huu ujinga kama naibu waziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…