Full mass nondo

Ndoa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
1,033
Reaction score
254
Nimemsikia mkuu wa wilaya ya muheza bi subira kwenye taarifa ya itv ya saa 2 akizunguzia suala la watu waliovamia msitu. Kwamba serikali yake itakuwa full mass nondo. Hivi maana yake ni nini?
 
Kutumia maneno kama haya ni uzembe wa viongozi wetu kutumia maneno ya mitaani pasipo mahali pake.
Kwa kiasi kikubwa viongozi wetu wanachangia sana kuharibu kiswahili chetu kwa kutumia maneno yasiyo na maana kama haya. BAKITA nao wapo hoi, hawawezi hata kutoa tamko au kukaripia upotoshwaji wa kiswahili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…