sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Jeshi la maangamizi lilokua vitani jana usiku katika uwanja wa Amaani.
View attachment 272572
Kikosi bora kabisa kwa sasa Zanzibar, Black Sailor ambao wamepanda ligi kuu msimu ujao kwa kuvunja rekodi ya kua na point nyingi.. Naimani msimu ujao ni mabingwa.
View attachment 272573
Jopo la ufundi, likihakikisha kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa katika mechi dhidi ya Black Sailor.
View attachment 272574
Mchezaji wa Simba SC akiwa kazungukwa na kijiji
View attachment 272575
Mshambuliaji tegemeo kabisa wa Black Sailor, akijaribu kuupita Great Walll of China, kilichomkuta siwezi hata kuhadithia.
View attachment 272576
Kiungo Bora kabisa kwa sasa, Abdi Banda akinyanyua mashabiki waliofurika katika uwanja wa Amaani, kwa goli safi la kichwa (goli la kideoni)
View attachment 272578
Hamis Kiiza Aguerro (mwenye jezi 5) na wachezaji wenzake wakimpongeza Banda kwa kufunga goli la kwanza.. Kiiza ndo alipiga krosi, Banda akatupia.
View attachment 272584
Huyu beki wa Black Sailor, baada ya kuzidiwa kila kitu, na Kiiza.. Akaamua kucheza rugby.
View attachment 272588
Huyu nae anajaribu kumzuia Mgosi, sijui hafahamu kua Mvinyo wa kale ndo dili?!
View attachment 272592
Ibrahimu Ajibu "Hat-trick Master" akifunga goli la pili.
View attachment 272593
Ilikua ni vita kweli kweli, ukikamata mpira tu.. Unakabwa na wawili wawili.
View attachment 272594
MWISHO WA SIKU:
Mnyama mkali sana mwituni, asiyekua na masihara anapokutana na kitoweo mwituni alishinda goli 4-0. Magoli ya simba yalifungwa na Banda, Ajibu, Maguli na Isihaka.
Taarifa nilizozipata toka Katika chanzo changu cha uhakika kilichokua uwanjani, ni kua jana Simba SC imeonesha soka la uhakika ambalo halijaonekana katika visiwa hiyo kwa mda mrefu sana.. Lilikua ni la kasi kubwa sana (zaidi ya speed of light) likijaaa pasi fupi fupi zenye macho, huku kiiza, banda, mwalyanzi, mkude, ajibu wakifanya waliofika uwanjani kua wanasimama kila Mara kushangilia vitu adimu walivyokua wakionesha.
Shukrani kubwa ziende kwa golikipa wa Black Sailor pamoja na beki wake kwa kuzuia kufungwa goli si chini ya kumi.
HALI ILIVYO SASA:
WAO.. View attachment 272596
SISI… View attachment 272597
NOTE: Leo tena Simba SC atakua uwanjani kupambana na Polisi wa Zenji.
Credit: Zanzinews
View attachment 272572
Kikosi bora kabisa kwa sasa Zanzibar, Black Sailor ambao wamepanda ligi kuu msimu ujao kwa kuvunja rekodi ya kua na point nyingi.. Naimani msimu ujao ni mabingwa.
View attachment 272573
Jopo la ufundi, likihakikisha kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa katika mechi dhidi ya Black Sailor.
View attachment 272574
Mchezaji wa Simba SC akiwa kazungukwa na kijiji
View attachment 272575
Mshambuliaji tegemeo kabisa wa Black Sailor, akijaribu kuupita Great Walll of China, kilichomkuta siwezi hata kuhadithia.
View attachment 272576
Kiungo Bora kabisa kwa sasa, Abdi Banda akinyanyua mashabiki waliofurika katika uwanja wa Amaani, kwa goli safi la kichwa (goli la kideoni)
View attachment 272578
Hamis Kiiza Aguerro (mwenye jezi 5) na wachezaji wenzake wakimpongeza Banda kwa kufunga goli la kwanza.. Kiiza ndo alipiga krosi, Banda akatupia.
View attachment 272584
Huyu beki wa Black Sailor, baada ya kuzidiwa kila kitu, na Kiiza.. Akaamua kucheza rugby.
View attachment 272588
Huyu nae anajaribu kumzuia Mgosi, sijui hafahamu kua Mvinyo wa kale ndo dili?!
View attachment 272592
Ibrahimu Ajibu "Hat-trick Master" akifunga goli la pili.
View attachment 272593
Ilikua ni vita kweli kweli, ukikamata mpira tu.. Unakabwa na wawili wawili.
View attachment 272594
MWISHO WA SIKU:
Mnyama mkali sana mwituni, asiyekua na masihara anapokutana na kitoweo mwituni alishinda goli 4-0. Magoli ya simba yalifungwa na Banda, Ajibu, Maguli na Isihaka.
Taarifa nilizozipata toka Katika chanzo changu cha uhakika kilichokua uwanjani, ni kua jana Simba SC imeonesha soka la uhakika ambalo halijaonekana katika visiwa hiyo kwa mda mrefu sana.. Lilikua ni la kasi kubwa sana (zaidi ya speed of light) likijaaa pasi fupi fupi zenye macho, huku kiiza, banda, mwalyanzi, mkude, ajibu wakifanya waliofika uwanjani kua wanasimama kila Mara kushangilia vitu adimu walivyokua wakionesha.
Shukrani kubwa ziende kwa golikipa wa Black Sailor pamoja na beki wake kwa kuzuia kufungwa goli si chini ya kumi.
HALI ILIVYO SASA:
WAO.. View attachment 272596
SISI… View attachment 272597
NOTE: Leo tena Simba SC atakua uwanjani kupambana na Polisi wa Zenji.
Credit: Zanzinews