Full Story: Wema Sepetu awatukana Team Yake (Team Wema).

Full Story: Wema Sepetu awatukana Team Yake (Team Wema).

OGTV

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2016
Posts
353
Reaction score
167
Baada ya Team Wema au wafuasi wa Wema au Wema fans kumponda Wema kwa kutomsupport Idris Sultan katika kuwania nafasi ya Kuhost tuzo za MAMA.
Wema akasirika nakuwatukana washabiki wake!

vp unaonaje kuhusu hizi team?, Unamshauri nini Wema?.Vp kuhusu wema kutukana matusi hivi?​
 
Kama mama tu anatukanana na wacheza singeli mtoto atakuwaje
 
hayaa ubuyu uko tayari kwa kuliwa...
Fanyeni faster ili msiukose
1474386261609.jpg
japo umekolea sukari sanaa
 
Ukitaka umaarufu, ujue bei yake ni kuuza faragha yako.

Wengine tulikuwa na nafasi ya kuwa maarufu awali kabisa katika maisha, tukakataa, kwa kujua kwamba bei ya umaarufu ni kukosa faragha.

Kwa sababu tulijua habari hizi.

Ama ukubali umaarufu na kukosa faragha, ama kama unataka faragha, kubali usiwe maarufu.

Sasa huyu sheria ya mtandao mbona haimshughulikii kwa kutukana?

Mtoto wa kike mlimbwende mdomo una matusi kama shangingi la Lamu?
 
Tokea aachwe na Diamonds ameshuka chati sasa anatafuta kiki kwa kurusha mimatusi kwa washabiki wake. Labda kishakuwa chizi huyu mweziwe Faiza mimatusi anaona atakuwa celebrity.
 
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Keshokutwa Anaomba msamaha...Zile Lipstick Wateja Wake si walikuwa Team Wema

Ila Wema Anastress Milioni Atakuja kubwia Unga Huyu one day..
 
Bwahahaaaaa, team wema wanajipendekeza kwa wema ambaye hawataki
1474386769226.jpg
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
She's mature enough leave her alone. Ila kweli kuna team yake wana majina kama lake, walituna kana sana ex wake na bibi akajaribu kuwambia wasifanye hivyo lakini ukiona kwaharaka utadhani ni yeye mf. Wemasepetuu, wemmasepetu, kwahiyo alikua mfungwa
 
Ile sheria yetu vepeee, au mpaka kwa mwanafunzi wa RAS SIMBA Ndio ina function?
 
Shame on you guys, (team Wema).
Lakini ametumia kauli yenye ukakasi.
 
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Keshokutwa Anaomba msamaha...Zile Lipstick Wateja Wake si walikuwa Team Wema

Ila Wema Anastress Milioni Atakuja kubwia Unga Huyu one day..
Mkuu sema UNGA ukimkolea abwie mara ngapi.
 
Huuu ni ushenzi haswa ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tokea aachwe na Diamonds ameshuka chati sasa anatafuta kiki kwa kurusha mimatusi kwa washabiki wake. Labda kishakuwa chizi huyu mweziwe Faiza mimatusi anaona atakuwa celebrity.

Kaona kuwatumia Diamond arudi imeshindikana...ila duh wakomaje kwa maneno haya.

Imebidi nicheke aaagh si kwa kuwashushua hivi...hana shukurani sababu kafulia.

Kama wanaakili wabadilike, huyu hana adabu.
 
Back
Top Bottom