Kwanza kabisa mimi si fukara na wala sijazaliwa katika ufukara, ila nina ufahamu ufukara, kuwa kwako kwenye mitandao ya kijamii kwa zaidi ya miaka 20 hakunitishi na wala hakuondoi dhana ya kuwa wewe ni baba mpumbavu usiyejitambua.
Usiwe na fikra za ajabu kwamba kila ID mpya humu JF basi ni ya mtu mpya mimi ni Legendary humu kukushinda wewe pungase!
Hadhi yangu na fedha zangu kuwa chache ama nyingi haikuhusu, ila acha upumbavu jifunze kuwa mwanamume mkamilifu na si kujiita Victor wa happy utaliwa kiboga