johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
La kuwapeleka wabunge wanaojitambua karantini bila makubaliano rasmi.Ushauri kwa Kiswahili ni wingi na umoja. Kwenye ule ushauri walishauri mambo mengi sana. Wewe ni lipi hasa unaona ni la kijinga?
Halafu unatakaje CCM waunge mkono jambo la CHADEMA??
Ndugai ni spika duni sanaWewe nae ukue unaandika nini hiki🙃🙃
Nimekuuliza pale kajunjumele nani anakuheshimu?mkuu usihangaike na ndondocha
Ana degreu mbili huyo anagombea ubunge wa Kyela!Wewe nae ukue unaandika nini hiki🙃🙃
Mimi ndiye nilibadilisha bei ya cocoa Kyela , kabla ya Mwakyembe kuleta unaa wake , waulize wakulima , tunaposema tunatetea wananchi hatutanii , Wanafiki wakubwa nyie !!Nimekuuliza pale kajunjumele nani anakuheshimu?
Kwanza CHADEMA haiwezi kufa kwa kuwa tu kuna nyie watu mnaotaka ifeLa kuwapeleka wabunge wanaojitambua karantini bila makubaliano rasmi.
Halafu akataka bunge zima liige.....kisa mtoto wake yuko kwenye karantini ya matibabu Temeke.
Ukiendesha chama kama familia yako lazima tu utakiuwa!
Kosa la ndugai ni lipi ?vipi ile kesi mliyomfungulia jk the Hague imefikia wapi maana last time niliwaona mnampigia makofi ya kummisi bungeni huwa mmejaza maharage kichwaniKabla hajafa ndugai ni lazima afungwe , hilo ulijue , Dunia haijawahi kuwa na spika duni kama huyu , kuna wakati nilidhalilika sana London kwa kujulikana kuwa mtanzania kwa sababu ya Upuuzi wa Ndugai
Vilaza kwa kujitutumuaKabla hajafa ndugai ni lazima afungwe , hilo ulijue , Dunia haijawahi kuwa na spika duni kama huyu , kuna wakati nilidhalilika sana London kwa kujulikana kuwa mtanzania kwa sababu ya Upuuzi wa Ndugai
na nitashinda kwa kishindoAna degreu mbili huyo anagombea ubunge wa Kyela!
Wadanganye hao hao wasiokujuwa!Mimi ndiye nilibadilisha bei ya cocoa Kyela , kabla ya Mwakyembe kuleta unaa wake , waulize wakulima , tunaposema tunatetea wananchi hatutanii , Wanafiki wakubwa nyie !!
Mbowe kauliza swali na hajasema kama Spika mjinga. Wewe lile swali unadhani nani ni mjinga kati ya aliyetoa ushauri na aliyekataa ushauri!!
Leo aliyeko zamu anakosea sana kuandika!!Ana degreu mbili huyo anagombea ubunge wa Kyela!
Sibishani na masikini , ni dhambi kwa Mungu , nitaonekana nakunyanyasaKosa la ndugai ni lipi ?vipi ile kesi mliyomfungulia jk the Hague imefikia wapi maana last time niliwaona mnampigia makofi ya kummisi bungeni huwa mmejaza maharage kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena Mbowe kamheshimu sana Ndugai , huyu Ndugai ni zaidi ya alivyoitwa humo
Mwambie Mbowe asuburi kiki nyingine itakapojitokeza.Kiki kivipi? Uje Iringa halafu useme kwamba Corona ni Kiki za CHADEMA. Leo nimeshuhudia mafundi cherehani wakiongeza kasi ya kushona Barakoa!!
Mbunge mpya wa Kyela kila mtu anamjua na ameshapita bila kupingwa!na nitashinda kwa kishindo
Kila siku siyo jumapiliMbunge mpya wa Kyela kila mtu anamjua na ameshapita bila kupingwa!
Nasubiri comments zenu wachangiaji njoeni basi
Hahahaaaa....... Si unajua Dar imeshafunguka bwashee!Leo aliyeko zamu anakosea sana kuandika!!
Ha! Ha! Ha! Ha!