FULL TEXT: Hotuba ya Mwenyekiti na KUB Mhe. Freeman Mbowe kwa umma kuhusu Janga la Corona

Taarifa ya kamati kuu kisha yanatolewa maelezo binafsi
Kuwa shabiki wa hivi vyama vya siasa ujitoe akili haswa
 
Kyela hakuna uchaguzi tukimaliza kura za maoni biashara imekwisha mbunge mpya anasubiri kuapishwa akakabidhiwe wizara.

Wewe jirudie Desderia ukaendelee kupokea wageni!
mkuu kama utakuwa hai tutafutane baada ya uchaguzi , nakuonya tena mkitaka kuleta maafa fanyeni ujinga
 

Kama kumbukumbu zangu sio sahihi ninachojua mbowe sio KUB Bali Rwakatare ndio KUB wa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…