Hongera mtani.. Moyo ulikuwa unakudunda
Hongereni, naona leo mnacheeeeeeeka.
Hivi kwanini wasichana na wanawake warembo wanapenda kushabikia matimu mabovu kama Yanga?
Kesho Azam kazi kwenu
Ulikuwa hujui?? Yani wasichana warembo kama wavulana wao...Kumbe Yanga kuna wasichana warembo kuliko kule kwa wanamikia???!!! Aisee, Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Njombe watashuka daraja wameshangaa mno. Mpira wanacheza vizuri sana ila wanakosa confidenceNjombe hebu tupeni raha basi...
Ushindi ni jadi yetu.. Karibu kumshudia mnyama mkali kuliko wote mwituni SSCSi sanaaa. Sababu dalili za ushindi nilikuwa naziona.
Wewe je Mtani moyo wako haudundi ukiwaza kesho? [emoji12]
Yaani kaumia balaa. Eti anashangaa kwa nini wanawake Warembo wote tunashangilia Yanga. Hahaaaaa.Babu kaumia kwa ushindi ee hahaha
Hahaaa. Nshakaribia best tuombe Allah atupe uzima tu.Ushindi ni jadi yetu.. Karibu kumshudia mnyama mkali kuliko wote mwituni SSC
Mamyyy hujaniitaaa.... Leo lkn nlikua busy..... Yanga saafiiiYaani kaumia balaa. Eti anashangaa kwa nini wanawake Warembo wote tunashangilia Yanga. Hahaaaaa.
Nisamehe bure my dear. Ila Uzi umepooza yaani wapenda Yanga wote sikuwaona sa sijui ndio walikuwa Taifa.Mamyyy hujaniitaaa.... Leo lkn nlikua busy..... Yanga saafiii
Aisee, kumbe sisi mapacha.Kila la Kheri kwa Timu yangu pendwa hapa Tanzania.
Sisi Mapacha kabisa Kaka.Aisee, kumbe sisi mapacha.
Yanga Daima mbele nyuma mwiko.
Kimataifa unashabikia Timu gani Dada yangu?Kila la Kheri kwa Timu yangu pendwa hapa Tanzania.
Siku maji maji inacheza unishtueSisi Mapacha kabisa Kaka.
Ewaaaa. Siku zote Slogan haituangushi Kaka
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Hapana mie napenda Man U.Kimataifa unashabikia Timu gani Dada yangu?
Arsenal au Messi[emoji4] [emoji4]
Pogba yupo, sijamsikia siku nyingi zimepitaHapana mie napenda Man U.