Full time at national stadium

Bado tuna tatizo la shabaha ya kufunga magoli
Mbona Goli Ni kubwa Sana inakuwaje mtu anapiga nje. Au aaa ya kupiga anakaona kagoli kadoooogoo. Au inakuwaje huwa wanahamisha labda
 
kazi ilobaki ni kumchinja Lesotto kwao,
 
Hongera kwa timu ya taifa angalau leo wametutoa aibu! Shida hii timu haieleweki inashinda mchezo 1 afu inafungwa 5! Tuombe isiwe hivyo tena! Lazima tufuzu this time......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…