Yule Mnyama ambaye anaonekana kuanza kurudisha makali yake ya uwindaji awapo mwituni, Simba S.C.. Leo kaendelea kutakata ipasavyo "msituni kwake" Taifa Stadium.
Na hii ni baada ya kuwaadhibu ipasavyo watoto wa Abdalah Kibaden.. JKT Ruvu.. kwa goli 2-0.
Waliopeleka kilio kwa wajeda ni Hamis Kiiza 54.. na Daniel Lyanga 62.