Tambwe karudi Tena, maana ni Kama gari la mkaa, wiki service siku tatu barabaranManara anasemaje leo ?
Kama kawaidaYanga walikuwa wanalilia draw aisee
Yanga walikuwa wanalilia draw aisee
Kesho na Mbeya CirySimba lini
Wanapaswa kujifunza kwa Mnyama. Wamwangalie jinsi Kapombe na Nduda walivyomudu kubaki fiti muda wote kwa kucheza mechi zote hadi sasa.Tambwe karudi Tena, maana ni Kama gari la mkaa, wiki service siku tatu barabaran
Tambwe hakuwepo naweka mambo sawa.Habari ndiyo hiyo
Mpira umekwisha hapa CCM Namfua
Singida FC "ikitoka" kifua mbele kwa kutoa draw na Yanga
Ajibu, Shishimbi, Tambwe, Chirwa wooooote walikuwepo
Matokeo Mengine
Ndanda 0-Mtibwa 0
Kagera Sugar 1- Prison 1
Njombe 0- Mbao 0
Simba utatutaka mwaka huu
Ungesubiri mvuke mto kesho ndiyo ndiyo uanze kuongea.
Waamuzi watafuata sheria 17 za football bila kujali kelele za Haji.
Ikibidi mtangulize rufaa FIFA maana mnafia Sokoine Stadium.
Mwaka Jana mikia mlitangulia pointi 8 lakini tulitwaa ubingwa na mwaka huu hadi sana tunalingana pointi mnategemea nini mikia?
Simba si ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho kuwa victim wa mapungufu ya waamuzi. Team nyingine, wamekuwa victims na wanasonga mbele. Tofauti ni kelele tu.Kwahiyo Kwa mujibu Wa Watafsiri Sheria Wa Kitanzania Beki Kunawa Mpira Ndani Ya Penalty Box bila Ya Kuadhibiwa ni Miongoni Mwa Sheria 17 za Soka?
Manake Hicho Ndiyo Alichokizungumzia Manara!!
Pambana na hali yako wewe. Tambwe alikuwepo?Habari ndiyo hiyo
Mpira umekwisha hapa CCM Namfua
Singida FC "ikitoka" kifua mbele kwa kutoa draw na Yanga
Ajibu, Shishimbi, Tambwe, Chirwa wooooote walikuwepo
Matokeo Mengine
Ndanda 0-Mtibwa 0
Kagera Sugar 1- Prison 1
Njombe 0- Mbao 0
Simba utatutaka mwaka huu
Mbeya city nyanya tuu waleUngesubiri mvuke mto kesho ndiyo ndiyo uanze kuongea.
Waamuzi watafuata sheria 17 za football bila kujali kelele za Haji.
Ikibidi mtangulize rufaa FIFA maana mnafia Sokoine Stadium.
Leo jioni tutapata jibu MkuuMbeya city nyanya tuu wale
Ulikuwa naye getoPambana na hali yako wewe. Tambwe alikuwepo?
Simba si ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho kuwa victim wa mapungufu ya waamuzi. Team nyingine, wamekuwa victims na wanasonga mbele. Tofauti ni kelele tu.
Mwamuzi ana makosa, aliruhusuje mechi kuchezwa nyavu imetoboka?Nimempenda Refa kwa umakini wake.