Full time: Wabunge wa Simba wakandwa na wabunge wa yanga

Full time: Wabunge wa Simba wakandwa na wabunge wa yanga

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Timu ya wabunge na watumishi wa bunge ambao ni mashabiki wa Yanga wameibuka kidedea mbele ya watani zao wa jadi katika Bunge Bonanza lililofanyika Dodoma. Dakika 90 za mchezo zilimalizika kwa sare ya 1-1 ambapo hatua ya matuta iliamua mshindi kwa Yanga kushinda 4-3.

Mdhamini mkuu wa Bunge Bonanza mwaka huu ni Benki ya @azania.bank #BungeBonanza2024
Source: Cloudsmedia

Taabu ipo pale pale ....huku 5G ....kule kichapo ... wanasimba tumlete tu Manzoki.

1706360703967.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom