Huyo ni Dully sykes Mr. MisifaAzizi k Kuna muda mizinguo
Sure, someties anataka kufosi afunge yeye wakati kuna wengine sehemu nzuri, pasi hatoiAzizi k Kuna muda mizinguo
Ndio raha ya utani wa jadiComment za kule mwanzon nikisoma Nacheka sana 🤣🤣🤣🤣
Champions league inaanza sheria ya head to head kwanzaHawa inabidi watusaidie kupunguza Goal Difference
Afadhali hata na wewe umeona mkuu anataka kujifanya Messi wakati wenzie wapi waziAziz Ki machenga mengi badala ya kutoa pasi
Game bado hii usishangae inaisha 3-3..Yanga bado wanaendekeza uzubaifu baadhi ya maeneo wanahitajika kutumia nafasi zote vizuri...Hawa wameshageukia Kibla
Kocha yupo vizuri, kampiga sabu kaingia MusondaAfadhali hata na wewe umeona mkuu anataka kujifanya Messi wakati wenzie wapi wazi
Lazima nishangae sana ikiisha 3-3Game bado hii usishangae inaisha 3-3..Yanga bado wanaendekeza uzubaifu baadhi ya maeneo wanahitajika kutumia nafasi zote vizuri...
.