NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
Kweli kabisa wamemdhalilisha dada wa watu, tena ni mke mwenzake.... huyo dada angewezaje kuja mwenyewe na kuingia ndani.... Na huyo mama kwa jinsi asivyo na akili eti hawezi kuacha mali zote sh...zi, kweli siku zote wanawake wataendelea kupuuzwa sababu hawajui nini mnahitaji kutoka kwa waume zao....:embarrassed:!!!
mmmhh ndio maana mi sijawah kutuma zaidi ya kupiga hodi tuu lol.....kumbe ndio ulivyo hivyooo cpu.. mmmh!!!
mi sija sema kama anamakosa huyo binti ila mi pia nimemuonea imani kwa wanavyomfanya tuu lakini sikumuonea imani kwa kuchukuwa mume wa mtu kusudi kuzaa nae kumtafuta mke halali masolon na wapi na wapi ilmradii tuu alikuwa akizitafuta chokochoko...mi nna hilo jibaba lisiridhika na mke wake....mhh lakin mi ngoja ninyamaze usije nichukia bureee...maana naona mmhhh nishashuka hadhi...Umenionaje NILHAM, sifai eeeh???
Do you think that fumanizi is building a woman???
Nimemuonelea huruma sana huyo mwanamke anaepigwa masingi kuliko hao wapuuzi wengine pamoja na mwenye mume . . .
Hivi nyinyi . . . . . . aaaaaghrrrr
Unasubili mpaka jamaa awe ameshalala na mwanamke halafu aliyefumaniwa ni mwanamke na anafanywa hivyo?????!
Kwa staili hii basi wanaume wataona raha kweli kubandua wanawake wa nje, maana watajua kesi inaangukia kwa wanawake tu hata iweje.
Mama wenye mume na hao waandishi wa habari wote punguani. Wangetumia huo muda kufanya interview za maana. Hii inaonyesha jinsi gani journalists wetu walivyo incompetent.
mi ntakukunja shati na masikio nakukata nikayatafuna ...halafu ndio naarudi upande wa pili...
aliyoyafanya huyo m.ke{hawara}ni mabaya.huyo m.me nae angestahili kuonyeshwa,kwani wote ni wakosaji.jamani hee mpaka waitwe kina marios kuja kushuhudia,mbona yamekaa kiumbea fulani?kwa nini wasisuluhishe wao wenyewe?.Au hata kama walijaribu kusuluhisha bila mafanikio kwa nini asiamue cha kuamua huyo mke kuliko kuita watu ambao unajua hakika yataishia kuzungumziwa kwenye radio.mpaka kwenye gazeti la shigongo imetolewa
si ndio mwenyewe alivyotaka jamanii??? kushare kitu kimoja nayo yataka roho... ila hakustahili kufanya vile haki lilllah...
"Women have to look good because men see better than they think" is silly, but true.
Sometimes we do not think strategically,the problem is her husband not the concubine,i bet this man knew the stupidity of his wife and thats why he was comfortable doing that with the presence of his wife under the same roof......
Mi wameniboa sana, unaacha mumeo mzinzi una deal na mwanamke ambaye hujui hata mumeo alimdanganya nini hadi kuja hapo kwako......
Nafikiri wangekuiga wewe......lol :laugh::laugh:
ajabu wanawake (wanahabari) kumnyanyasa [kijinsia??] mwenzao. inavoonekana baba mwenye nyumba kamchoka wife wake alitaka amuonyeshee ili kama atafunga virago afunge lakini kakuta wife 'kitchen party' imemkaa sawa sawa - kamsamehe mpaka akhera!