Fumanizi kitaani kwetu

gari,pesa sina ndo nama nakuita mchumba,we wa gari na nyumba ama pesa ndo ................,mapezni si gari ,nyumba etc small small things bana
 
Dah!funza dume umetisha!Yani stori yote hiyo umeweka nukta mbili tu?!
Huo ni utani tu.Hiyo ishu imetokea wapi?
hapa nikitaja mtaa tu nitaharibu ila ni mjini humuhumu na ni ya kweli
 
tuwasilianeni jamani mimi nauza hiden kamera its not a jok e guys
duh kaka ukiweka hidden camera kinachofuata ni kiapo kuwa huwezi kuoa tena, ya nn ujitafutie presha unaweza kuyaona mengi kuliko hayo unayoyategemea, uchelewi kukuta mganga wa kienyeji kaingizwa master bedroom wanakiroga kitanda ili uwe zuzu au unakuta mkeo anasagwa na wanawake wenzio unaweza kudata bure. Ni bora uishi tu bila kujichanganya kichwa mtu wangu
 
gari,pesa sina ndo nama nakuita mchumba,we wa gari na nyumba ama pesa ndo ................,mapezni si gari ,nyumba etc small small things bana
Pearl, nikuona sina raha eeenhe naumie na mawazoooooo, kama unipendi au unanipende iweje unanizinguaaaaaaaaaaa.......i like tha song
 
same here,yap so jamaa asidhani kwa kuoa,kununua gari etc ndo mapenzi hapana si hivyo,kwani umesahau story ya princess Diana?mbn aliacha mijihela yooote ya ufalmeni?
Pearl, nikuona sina raha eeenhe naumie na mawazoooooo, kama unipendi au unanipende iweje unanizinguaaaaaaaaaaa.......i like tha song
 
hapa nikitaja mtaa tu nitaharibu ila ni mjini humuhumu na ni ya kweli

Kweli usije ukaonekana mpashkunata bure!Sasa huyo dada akijua umeweka hii kitu hapa si ndio mwanzo wa bifu?au na wewe uliwahi kuomba gemu ukanyimwa?
 
mtasaidiwa sana tu endeleeni kupiga nusu dakika,:smile-big:
 
Hii kitu ya urembo hii, halafu na hawa wasafisha kucha wanaharibu sana wake/wachumba za watu ukipita pale Mwenge kina dada wanahudumiwa wamefunga hadi macho.

Ivuga mkuu nitakufuta kwa ajili ya hiden camera
 
same here,yap so jamaa asidhani kwa kuoa,kununua gari etc ndo mapenzi hapana si hivyo,kwani umesahau story ya princess Diana?mbn aliacha mijihela yooote ya ufalmeni?
kweli mapenzi ni kizunguzungu wengine wanapenda mtu kwa sababu ya pesa (most of them) wengine ndio hivyo anataka kupigwa na rungu raundi tano kwa siku, wengine wanataka kila mwaka wazalishwe kweli mapenzi kizunguzungu
 
Kuna mafundi cherehani nao ni hatari siku hizi wanapita kupima wake za watu majumbani .wapaka rangi weshammega house girl wangu na mimba juu.
 
Kweli usije ukaonekana mpashkunata bure!Sasa huyo dada akijua umeweka hii kitu hapa si ndio mwanzo wa bifu?au na wewe uliwahi kuomba gemu ukanyimwa?
silagi wake za watu mie
 
Kuna mafundi cherehani nao ni hatari siku hizi wanapita kupima wake za watu majumbani .wapaka rangi weshammega house girl wangu na mimba juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…