Fumanizi kitaani kwetu

Banker hana maufundi huyo..
halafu anatia huruma mke hajamwacha halafu vijiwe vyote vya mambo yetu amehama akitoka kazini job, chinga amemchakachulia mkewe lol
 
hivi magagulo bado yapo? sijakutana nayo muda kwenye utundu wangu

umesemea vizuri sana ila nadhani jamaa yuko busy sana na job maana uwa anarudi kuanzia saa 2 usiku, mkewe ni mpole sana na mzuri ingawa siwezi judge kitabu kwa cover na yule jamaa ni muuza urembo wa kweli maana uwa anauza mtaa mzima na aligundulika baada ya watu kumsubiri akitoka pale awapake rangi sasa tatizo ikawa akiingia pale ndio anapotea kabisa na akitoka ni nduki apigi tena debe la kazi yake
 
Chinga anajua kuisimamia,hahaha!shughul anaijua hasa,huyo mume ajipange
 

acha maswali ya kitoto, wewe hujui anapata nini kwa chinga?, si unajua jamaa wa benki akiwahi sana kufika nyumbani ni saa 4 usiku harafu anaamka saa kumi alfajiri ili awahi job, kwa hiyo ule muda wa mambo ya motomoto kitandani hapatikani, na vile amemnunulia gari bibie basi anajua amemaliza kazi asijue kuwa magari hata ya 250 yapo.
 
Kweli JF ni kiboko, Na Hii mada imeumiza wengi,
maana jana nilimsikia bosi wangu akiongea kwenye simu nadhani alikuwa akiongea na mkewe, na kauli nilizozisikia: " nimekwambia huyo muuza CD asiwe anakuja hapo nyumbani, kama unataka kununua CD nunua hukohuko hakuna cha kumuagiza kuja kuzijaribu nyumbani" Ndio, mimi nilimleta na mimi ndio nakwambia sitaki aje tena nyumbani kwangu, hao jamaa saa zingine wanakuwa wezi"
jamaa akatoka nje akiwa bado anaongea na simu kukazia ndoa yake isiyumbe na mimi kwa spidi ya umeme nikambia kuangalia komputa yake nilitoka nacheka sana baada ya kuona yupo kwenye hii peji
 

hahahahahah,umenichekesha hapa,
 


huyo dada katii kiu yake!! Ila kakosea kumegewa ndani ya nyumba ya mume wake, mie ningeshauwa bureeeee
 
kituko kweli wewe kituko na unalo hilo bosi wako akisoma hii comment lazima akupe barua ya onyo
 
huyo dada katii kiu yake!! Ila kakosea kumegewa ndani ya nyumba ya mume wake, mie ningeshauwa bureeeee
kumegwa ni kumegwa tu hata iwe amemegewa bara lingine let say wewe huko Bongo mkeo kamegwa Afghanstan maumivu ni yale yale labda tu husijue
 
Tatizo sio wauza urembo, kama humpigi bakora kisawasawa hata ndugu zako na marafiki zako watategwa na wakiingia laini wanammega... cha msingi ni kumfanyia kazi... Timiza majukumu yako yote ya ndoa uone kama atatoka nje!!!
wengine ni tabia tu wala sio kutimiza mahitaji kuna mademu wengine wana nye.ge za kuzaliwa (BUPU) ni kama ugonjwa unaweza mtu ukachapa mashine mpk kojoleo linapauka lakini ukitoka tu m/mke nae anatoka anaenda chapwa na wengine. Sasa ukute demu ana BUPU (nye.ge mshindo) halafu wewe huko busy kama huyo benka ndio utakuta unachapiwa mpaka na vichaa
 
kituko kweli wewe kituko na unalo hilo bosi wako akisoma hii comment lazima akupe barua ya onyo

hilo nililifikiria kabla sijaandika na nikakumbuka kuwa tupo kama memba sita wa JF ndani ya ofisi na hakuna hata mmoja anaejua ID ya mwenzie
 
wanaume wa kileo wanajisahau sana wanafikiri mapenzi ni kuhangaika na kujaza mali ndani yale mambo madogo dogo na ya muhimu wanawake wanayowalilia kila siku wanayapuuzia sikubaliani na dada aliyofanya hata kidogo lakini hembu jaribuni kuwajali wake zenu not only kwenye tendo maana hata hilo tendo linaweza kuwa kama kutimiza wajibu tu kwa mwanamke lakini hamna raha yoyote anayopata na baba akaamka akijisifia amemshughulikia sana mkewe kumbe ulikuwa unaumiza .
 
Yes I think so with high probability, it seems there is no polynomial time algorithm that can be designed to compute what they really need with certainity. Probably only heuristic algorithms may apply to their wants!
hii imetulia mkuu.
 
hili nalo neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…