Dawa ya uchawi ni kikombe cha babu. Kunywa in advance kamwe hutodhurika na uchawi
Natumai hudanganyi hapo,acha nisubiri foleni ipungue nami nikapate kikombe kwa Babu.lol!Dawa ya uchawi ni kikombe cha babu. Kunywa in advance kamwe hutodhurika na uchawi
Tall kwahiyo ni bora kupata msaada sio?1.KAMA UNAMPENDA MWENZIO HUWEZI KUMUWEKEA MAMITEGO YA AJABU AJABU,NA YA NINI ULIMUOA KAMA HUMUAMINI?
2.NA AKIGUNDUA UMEMTEGA HALAFU AKATEGUA.....BASI ATAKUIBIA MILELE NA MILELE.
3.KUMUWEKEA TEGO HAIMALIZI TATIZO,MTU KAZOEA LABDA ROUND TISA KWA SIKU ATAZIPATA ZOTE KWAKO???
4.JIULIZE KWANZA TATIZO LIKO WAPI.
Kwa ujumla mambo ya madawa madawa kwenye mapenzi hayafai kabisa.
Poa nenda Loliondo tuBabuuuu.. Nataka KIKOMBE!
Natumai hudanganyi hapo,acha nisubiri foleni ipungue nami nikapate kikombe kwa Babu.lol!