fumanizi

Usituletee picha za akina kanumba apa.:A S angry:
 
Mbona jamaa anaonekana hakuwahi kufanya lolote? ....anyway inabidi kuwa mpole tu na kutafuta upenyo.......then sepa!
 
Kakukosea nini huyo Kanumba! Wala pic haina uhusiano na huko

_ Alienda kumpa pole staff mwenzie pole alikuwa anaumwa, then mume akarudi gafla akahisi mkewe anajidai anaumwa ili agawe ngono
 
_ Alienda kumpa pole staff mwenzie pole alikuwa anaumwa, then mume akarudi gafla akahisi mkewe anajidai anaumwa ili agawe ngono

Ohoo hii balaa tena na siku hizi ma pisto yavyozagaa mtaani mmmmmmh
 
huyo jamaa mbona hata nguo hajavua maana fumanizi linanoga pale unakuta watu wamelowa jasho na kondom inaning'inia kwenye dhakari
 
Mkuu mbona huyo mnyama mbona katia pozi haonyeshi dalili za kufumwa? Nilitegemea hapo uso ungebadilika, inawezekana ni igizo hilo ila kama ni mimi ndiyo demu kanifanyia issue kama hizo nikampata live, mimi ningegeuka na kuendelea na issue za maana. Issue kama hizo hazinisumbui kabisa, ataaamua mwenyewe arudi au aelekee anapoona ndiyo muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…